2 “Mwana wa binadamu, tabiri dhidi ya manabii wa Israeli,+ nawe uwaambie hivi wale wanaotunga unabii wao wenyewe:+ ‘Sikieni neno la Yehova. 3 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ole wao manabii wapumbavu, wanaofuata roho yao wenyewe, ingawa hawajaona chochote!+