Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu;+ mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya,+ mwana wa Abiya alikuwa Asa,+ mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 17:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Yehoshafati+ mwanawe akawa mfalme baada yake, akaimarisha mamlaka yake juu ya Israeli.⁠

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na Yehoshafati akaendelea kutawala Yuda. Alikuwa na umri wa miaka 35 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 25 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Azuba binti ya Shilhi.+

  • Mathayo 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Asa akawa baba ya Yehoshafati;+

      Yehoshafati akawa baba ya Yehoramu;+

      Yehoramu akawa baba ya Uzia;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki