1 Mambo ya Nyakati 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu;+ mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya,+ mwana wa Abiya alikuwa Asa,+ mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati,+ 2 Mambo ya Nyakati 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na Yehoshafati+ mwanawe akawa mfalme baada yake, akaimarisha mamlaka yake juu ya Israeli. 2 Mambo ya Nyakati 20:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na Yehoshafati akaendelea kutawala Yuda. Alikuwa na umri wa miaka 35 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 25 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Azuba binti ya Shilhi.+ Mathayo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Asa akawa baba ya Yehoshafati;+ Yehoshafati akawa baba ya Yehoramu;+ Yehoramu akawa baba ya Uzia;
10 Mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu;+ mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya,+ mwana wa Abiya alikuwa Asa,+ mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati,+
31 Na Yehoshafati akaendelea kutawala Yuda. Alikuwa na umri wa miaka 35 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 25 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Azuba binti ya Shilhi.+