Kumbukumbu la Torati 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mnapaswa kutoa dhabihu zenu za kuteketezwa mahali tu ambapo Yehova atachagua katika mojawapo ya maeneo ya makabila yenu, na huko ndiko mtakapofanya yote ninayowaamuru ninyi.+ 1 Wafalme 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Pia waliendelea kujijengea mahali pa juu, nguzo takatifu, na miti mitakatifu*+ juu ya kila kilima kirefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi.+ 1 Wafalme 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini mahali pa juu hapakuondolewa.+ Hata hivyo, moyo wa Asa ulikuwa kamili kwa* Yehova maisha yake yote.*
14 Mnapaswa kutoa dhabihu zenu za kuteketezwa mahali tu ambapo Yehova atachagua katika mojawapo ya maeneo ya makabila yenu, na huko ndiko mtakapofanya yote ninayowaamuru ninyi.+
23 Pia waliendelea kujijengea mahali pa juu, nguzo takatifu, na miti mitakatifu*+ juu ya kila kilima kirefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi.+
14 Lakini mahali pa juu hapakuondolewa.+ Hata hivyo, moyo wa Asa ulikuwa kamili kwa* Yehova maisha yake yote.*