Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 33:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Ni lazima muwafukuze wakaaji wote wa nchi hiyo kutoka mbele yenu na kuharibu sanamu zao zote za mawe+ na sanamu zao zote za chuma,*+ nanyi mnapaswa kuharibu mahali pao pote patakatifu palipo juu.+

  • Kumbukumbu la Torati 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mnapaswa kuharibu sehemu zote ambazo watu wa mataifa mtakaomiliki nchi yao wamekuwa wakiabudia miungu yao,+ iwe ni juu ya milima mirefu au kwenye vilima au chini ya mti wowote wenye majani mengi.

  • 1 Wafalme 22:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Yehoshafati+ mwana wa Asa aliwekwa kuwa mfalme wa Yuda katika mwaka wa nne wa utawala wa Mfalme Ahabu wa Israeli.

  • 1 Wafalme 22:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Yehoshafati aliendelea kutembea katika njia yote ya Asa+ baba yake. Hakugeuka na kuiacha njia hiyo, naye alitenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova.+ Hata hivyo, mahali pa juu hapakuondolewa, na bado watu walikuwa wakitoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu mahali pa juu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki