-
1 Samweli 9:6, 7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Lakini mtumishi huyo akamwambia: “Tazama! Kuna mtu wa Mungu katika jiji hili, mtu anayeheshimiwa. Kila jambo analosema lazima litimie.+ Twende huko sasa. Labda anaweza kutuambia njia ya kufuata.” 7 Basi Sauli akamwambia hivi mtumishi wake: “Tukienda, tutampelekea nini mtu huyo? Mifuko yetu haina mikate; hatuna zawadi yoyote ya kumpelekea huyo mtu wa Mungu wa kweli. Tuna nini?”
-