1 Samweli 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Sauli akamwambia mtumishi wake: “Na tukienda, tutampelekea mtu huyo nini?+ kwa maana mkate umekwisha katika vyombo vyetu, wala hakuna zawadi+ yoyote ya kumpelekea huyo mtu wa Mungu wa kweli. Tuna nini pamoja nasi?”
7 Ndipo Sauli akamwambia mtumishi wake: “Na tukienda, tutampelekea mtu huyo nini?+ kwa maana mkate umekwisha katika vyombo vyetu, wala hakuna zawadi+ yoyote ya kumpelekea huyo mtu wa Mungu wa kweli. Tuna nini pamoja nasi?”