Mathayo 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na tazama! mtu fulani mwenye ukoma akaja na kumsujudia* akimwambia: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”+ Mathayo 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vipofu wanaona,+ viwete wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.+ Luka 4:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Pia, kulikuwa na wenye ukoma wengi Israeli siku za nabii Elisha; lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa,* ila Naamani Msiria.”+
2 Na tazama! mtu fulani mwenye ukoma akaja na kumsujudia* akimwambia: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”+
5 Vipofu wanaona,+ viwete wanatembea, wenye ukoma+ wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema.+
27 Pia, kulikuwa na wenye ukoma wengi Israeli siku za nabii Elisha; lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa,* ila Naamani Msiria.”+