2 Wafalme 8:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha Yehoramu akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi.+ Na Ahazia+ mwana wake akawa mfalme baada yake. 2 Mambo ya Nyakati 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ahazia alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa mwaka mmoja huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Athalia+ mjukuu wa* Omri.+
24 Kisha Yehoramu akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi.+ Na Ahazia+ mwana wake akawa mfalme baada yake.
2 Ahazia alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa mwaka mmoja huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Athalia+ mjukuu wa* Omri.+