2 Mambo ya Nyakati 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehoramu alikuwa na umri wa miaka 32 alipoanza kutawala, naye alitawala huko Yerusalemu kwa miaka minane.+ 2 Mambo ya Nyakati 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baadaye alipokea barua kutoka kwa nabii Eliya+ iliyosema: “Yehova Mungu wa Daudi babu yako anasema, ‘Hujafuata* njia za Yehoshafati baba yako+ wala njia za Mfalme Asa+ wa Yuda. Yohana 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Isitoshe, hakuna mtu aliyepanda kwenda mbinguni+ ila yule aliyeshuka kutoka mbinguni,+ yaani, Mwana wa binadamu.
5 Yehoramu alikuwa na umri wa miaka 32 alipoanza kutawala, naye alitawala huko Yerusalemu kwa miaka minane.+
12 Baadaye alipokea barua kutoka kwa nabii Eliya+ iliyosema: “Yehova Mungu wa Daudi babu yako anasema, ‘Hujafuata* njia za Yehoshafati baba yako+ wala njia za Mfalme Asa+ wa Yuda.
13 Isitoshe, hakuna mtu aliyepanda kwenda mbinguni+ ila yule aliyeshuka kutoka mbinguni,+ yaani, Mwana wa binadamu.