30 Nitaharibu mahali penu patakatifu palipo juu+ na kuvikatakata vinara vyenu vya uvumba, nami nitarundika mizoga yenu juu ya mizoga ya sanamu zenu zenye kuchukiza,*+ nami nitawachukia na kuwaacha.+
5 “Lakini hivi ndivyo mtakavyowatendea: Bomoeni madhabahu zao, vunjeni nguzo zao takatifu,+ kateni miti yao mitakatifu,*+ na kuteketeza sanamu zao za kuchongwa.+