-
Isaya 39:5-7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Sasa Isaya akamwambia Hezekia: “Sikia neno la Yehova wa majeshi, 6 ‘Tazama! Siku zinakuja, na vitu vyote vilivyo katika nyumba yako* na vitu vyote ambavyo mababu zako wamehifadhi mpaka leo hii vitapelekwa Babiloni. Hakuna chochote kitakachobaki,’+ asema Yehova.+ 7 ‘Na baadhi ya wana wako mwenyewe utakaowazaa watachukuliwa na kuwa maofisa wa makao ya mfalme katika jumba la mfalme wa Babiloni.’”+
-