-
2 Wafalme 20:16-18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Sasa Isaya akamwambia Hezekia: “Sikia neno la Yehova,+ 17 ‘Tazama! Siku zinakuja, na vitu vyote vilivyo katika nyumba yako* na vitu vyote ambavyo mababu zako wamehifadhi mpaka leo hii vitapelekwa Babiloni.+ Hakuna chochote kitakachobaki,” asema Yehova. 18 ‘Na baadhi ya wana wako mwenyewe utakaowazaa watachukuliwa+ na kuwa maofisa wa makao ya mfalme katika jumba la mfalme wa Babiloni.’”+
-