Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:30, 31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 jihadharini msinaswe baada ya mataifa hayo kuangamizwa kutoka mbele yenu. Msiulize hivi kuhusu miungu yao: ‘Mataifa haya yaliabuduje miungu yake? Mimi pia nitafanya vivyo hivyo.’+ 31 Msimfanyie hivyo Yehova Mungu wenu, kwa sababu mataifa hayo yanaifanyia miungu yao kila jambo linalochukiza ambalo Yehova anachukia, hata kuwateketeza motoni wana na mabinti wao kwa ajili ya miungu yao.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wakuu wote wa makuhani na pia watu walikosa uaminifu kupita kiasi, wakitenda mambo yote yenye kuchukiza ya mataifa, nao wakaichafua nyumba ya Yehova+ aliyokuwa ameitakasa Yerusalemu.

  • Ezekieli 16:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “‘Samaria+ hata hakutenda nusu ya dhambi zako. Uliendelea kuzidisha mazoea yako yanayochukiza kuliko yao, hivi kwamba dada zako wakaonekana kuwa waadilifu kwa sababu ya mazoea yako yote yanayochukiza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki