Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nao wakikuuliza, ‘Twende wapi?’ unapaswa kuwaambia, ‘Yehova anasema hivi:

      “Yeyote aliyekusudiwa kufa kwa ugonjwa unaoua, na afe kwa ugonjwa unaoua!

      Yeyote aliyekusudiwa kufa kwa upanga, na afe kwa upanga!+

      Yeyote aliyekusudiwa kufa kwa njaa kali, na afe kwa njaa kali!

      Na yeyote aliyekusudiwa kwenda utekwani, na aende utekwani!”’+

  • Yeremia 39:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi akawapeleka uhamishoni kule Babiloni watu waliobaki jijini, na wale waliojisalimisha kwake, na yeyote aliyebaki.

  • Yeremia 52:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nebuzaradani mkuu wa walinzi akawapeleka uhamishoni baadhi ya watu wa hali ya chini na watu wengine waliobaki jijini. Pia aliwachukua watu waliojisalimisha kwa mfalme wa Babiloni na pia mafundi stadi waliobaki.+

  • Yeremia 52:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Katika mwaka wa 23 wa utawala wa Nebukadneza,* Nebuzaradani mkuu wa walinzi aliwapeleka Wayahudi uhamishoni, watu 745.+

      Jumla ya watu 4,600 walipelekwa uhamishoni.

  • Ezekieli 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Utaiteketeza theluthi moja ya nywele hizo katika moto ndani ya jiji siku za kuzingira zitakapokamilika.+ Kisha utachukua theluthi nyingine nawe utaipiga kwa upanga kulizunguka jiji pande zote,+ na theluthi ya mwisho utaitawanya kwenye upepo, nami nitauchomoa upanga ili kuwakimbiza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki