-
Yeremia 39:9, 10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi akawapeleka uhamishoni kule Babiloni watu waliobaki jijini, na wale waliojisalimisha kwake, na yeyote aliyebaki.
10 Lakini Nebuzaradani mkuu wa walinzi aliwaacha katika nchi ya Yuda baadhi ya watu maskini kabisa, wale ambao hawakuwa na chochote. Siku hiyo aliwapatia pia mashamba ya mizabibu na mashamba mengine ili wayalime.*+
-