Methali 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Waliopotoka moyoni wanamchukiza Yehova,+Lakini wale ambao njia yao haina lawama humfurahisha.+ Methali 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Dhabihu ya waovu humchukiza Yehova,+Lakini sala ya wanyoofu humfurahisha Yeye.+ Waebrania 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ulipenda uadilifu, nawe ukachukia uasi sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia kuliko wenzako.”+
9 Ulipenda uadilifu, nawe ukachukia uasi sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia kuliko wenzako.”+