Yoshua 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo Yoshua akambariki Kalebu mwana wa Yefune na kumpa Hebroni kuwa urithi wake.+ Waamuzi 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Wakampa Kalebu jiji la Hebroni, kama Musa alivyoahidi,+ naye akawafukuza kutoka humo wale wana watatu wa Anaki.+
20 Wakampa Kalebu jiji la Hebroni, kama Musa alivyoahidi,+ naye akawafukuza kutoka humo wale wana watatu wa Anaki.+