Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 10:36, 37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kutoka Egloni, Yoshua na Waisraeli wote wakaenda Hebroni+ na kulishambulia. 37 Wakaliteka na kuliangamiza kwa upanga jiji hilo, mfalme wake, miji yake, na wakaaji wote, na hakuna yeyote aliyebaki. Yoshua aliliangamiza pamoja na wakaaji wote,* kama alivyofanya kule Egloni.

  • Yoshua 15:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye Yoshua akampa Kalebu+ mwana wa Yefune sehemu ya nchi kati ya wazao wa Yuda kama Yehova alivyomwagiza Yoshua, yaani, eneo la Kiriath-arba (Arba alikuwa baba ya Waanaki), yaani, Hebroni.+

  • Yoshua 21:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Waliwapa Kiriath-arba+ (Arba alikuwa baba ya Waanaki), yaani, jiji la Hebroni,+ katika eneo lenye milima la Yuda, na malisho yake yote. 12 Lakini walikuwa wamempa Kalebu mwana wa Yefune mashamba ya jiji hilo na vijiji vyake kuwa urithi wake.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:55, 56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 waliwapa Hebroni+ katika nchi ya Yuda, pamoja na malisho yake. 56 Lakini mashamba ya jiji na vijiji vyake walimpa Kalebu+ mwana wa Yefune.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki