Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Sara akafa huko Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni,+ katika nchi ya Kanaani,+ naye Abrahamu akaanza kumwombolezea Sara na kumlilia.

  • Mwanzo 35:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Hatimaye Yakobo akafika mahali ambapo Isaka baba yake alikuwa kule Mamre,+ Kiriath-arba, yaani, Hebroni, ambako Abrahamu na pia Isaka waliishi wakiwa wageni.+

  • Yoshua 15:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye Yoshua akampa Kalebu+ mwana wa Yefune sehemu ya nchi kati ya wazao wa Yuda kama Yehova alivyomwagiza Yoshua, yaani, eneo la Kiriath-arba (Arba alikuwa baba ya Waanaki), yaani, Hebroni.+ 14 Basi Kalebu aliwafukuza kutoka Hebroni wana watatu wa Anaki:+ Sheshai, Ahimani, Talmai,+ yaani, wazao wa Anaki.

  • Yoshua 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi wakatenga majiji haya kuwa matakatifu: Kedeshi+ kule Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.

  • Waamuzi 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi watu wa kabila la Yuda wakawashambulia Wakanaani waliokaa Hebroni (zamani Hebroni liliitwa Kiriath-arba), nao wakamuua Sheshai, Ahimani, na Talmai.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki