27 Hatimaye Yakobo akafika mahali ambapo Isaka baba yake alikuwa kule Mamre,+ Kiriath-arba, yaani, Hebroni, ambako Abrahamu na pia Isaka waliishi wakiwa wageni.+
7 Basi wakatenga majiji haya kuwa matakatifu: Kedeshi+ kule Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.
11 Waliwapa Kiriath-arba+ (Arba alikuwa baba ya Waanaki), yaani, jiji la Hebroni,+ katika eneo lenye milima la Yuda, na malisho yake yote. 12 Lakini walikuwa wamempa Kalebu mwana wa Yefune mashamba ya jiji hilo na vijiji vyake kuwa urithi wake.+