Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi Yoshua akafanya amani nao,+ pia akafanya agano pamoja nao ili kuwaacha waishi, na hivyo ndivyo wakuu wa Waisraeli walivyowaapia.+

  • Yoshua 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo Waisraeli wakaanza safari na kufika katika majiji ya watu hao siku ya tatu; na majiji yao yalikuwa Gibeoni,+ Kefira, Beerothi, na Kiriath-yearimu.+

  • Yoshua 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+

  • Yoshua 21:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na katika eneo la kabila la Benjamini: Gibeoni+ na malisho yake, Geba na malisho yake,+

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Hata hivyo, lile hema la ibada la Yehova ambalo Musa alikuwa ametengeneza nyikani na ile madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa vilikuwa mahali pa juu kule Gibeoni wakati huo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki