Kutoka 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Eleazari,+ mwana wa Haruni, alimwoa mmoja wa mabinti wa Putieli. Akamzalia mwana aliyeitwa Finehasi.+ Hao ndio viongozi wa koo* za Walawi, kulingana na koo zao.+ Hesabu 3:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kiongozi wa wakuu wa Walawi alikuwa Eleazari+ mwana wa kuhani Haruni, naye aliwasimamia wale waliokuwa na majukumu ya kufanya kazi mahali patakatifu.
25 Eleazari,+ mwana wa Haruni, alimwoa mmoja wa mabinti wa Putieli. Akamzalia mwana aliyeitwa Finehasi.+ Hao ndio viongozi wa koo* za Walawi, kulingana na koo zao.+
32 Kiongozi wa wakuu wa Walawi alikuwa Eleazari+ mwana wa kuhani Haruni, naye aliwasimamia wale waliokuwa na majukumu ya kufanya kazi mahali patakatifu.