Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 6:21-7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi wakawatuma wajumbe kwa wakaaji wa Kiriath-yearimu,+ wakisema: “Wafilisti wamelirudisha Sanduku la Yehova. Shukeni mlichukue na kupanda nalo.”+

      7 Basi watu wa Kiriath-yearimu wakaja na kulichukua Sanduku la Yehova na kulipandisha katika nyumba ya Abinadabu+ juu ya kilima, nao wakamtakasa Eleazari mwanawe ili alilinde Sanduku la Yehova.

  • 2 Samweli 6:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Daudi akawakusanya tena wanajeshi wote walio bora wa Israeli, wanaume 30,000. 2 Kisha Daudi na wanaume wote waliokuwa pamoja naye wakaondoka kwenda Baale-yuda ili kuleta Sanduku la Mungu wa kweli+ kutoka huko, ambalo mbele yake watu hulisifu jina la Yehova wa majeshi,+ anayeketi kwenye kiti cha ufalme juu ya* makerubi.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kisha Daudi akawakusanya Waisraeli wote Yerusalemu ili kulipandisha Sanduku la Yehova na kulileta mahali alipotayarisha kwa ajili yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki