-
1 Samweli 6:21-7:1Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Basi wakawatuma wajumbe kwa wakaaji wa Kiriath-yearimu,+ wakisema: “Wafilisti wamelirudisha Sanduku la Yehova. Shukeni mlichukue na kupanda nalo.”+
7 Basi watu wa Kiriath-yearimu wakaja na kulichukua Sanduku la Yehova na kulipandisha katika nyumba ya Abinadabu+ juu ya kilima, nao wakamtakasa Eleazari mwanawe ili alilinde Sanduku la Yehova.
-
-
2 Samweli 6:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Daudi akawakusanya tena wanajeshi wote walio bora wa Israeli, wanaume 30,000. 2 Kisha Daudi na wanaume wote waliokuwa pamoja naye wakaondoka kwenda Baale-yuda ili kuleta Sanduku la Mungu wa kweli+ kutoka huko, ambalo mbele yake watu hulisifu jina la Yehova wa majeshi,+ anayeketi kwenye kiti cha ufalme juu ya* makerubi.+
-