Mwanzo 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha Yehova akamtokea Abramu na kumwambia: “Nitaupa uzao wako*+ nchi hii.”+ Basi akamjengea Yehova madhabahu huko, aliyekuwa amemtokea. Mwanzo 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nami nitakupa wewe na uzao wako* baada yako nchi ambamo uliishi ukiwa mgeni+—nchi yote ya Kanaani—iwe miliki ya kudumu, nami nitakuwa Mungu wao.”+ Mwanzo 35:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na nchi niliyompa Abrahamu na Isaka, nitakupa wewe na uzao wako* baada yako.”+
7 Kisha Yehova akamtokea Abramu na kumwambia: “Nitaupa uzao wako*+ nchi hii.”+ Basi akamjengea Yehova madhabahu huko, aliyekuwa amemtokea.
8 Nami nitakupa wewe na uzao wako* baada yako nchi ambamo uliishi ukiwa mgeni+—nchi yote ya Kanaani—iwe miliki ya kudumu, nami nitakuwa Mungu wao.”+