Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:21-24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa ajili ya neno lako na kupatana na moyo wako* umetenda mambo haya yote makuu na kunifunulia mimi mtumishi wako.+ 22 Ndiyo sababu wewe kwa kweli ni mkuu,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. Hakuna aliye kama wewe,+ na hakuna Mungu ila wewe;+ mambo yote tuliyosikia kwa masikio yetu yanathibitisha jambo hilo. 23 Na kuna taifa gani lingine duniani lililo kama watu wako Waisraeli?+ Wewe Mungu ulienda na kuwakomboa wakiwa watu wako,+ ukajijengea jina+ kwa kufanya mambo makuu na yenye kuogopesha kwa ajili yao.+ Uliyafukuza mataifa na miungu yao kwa ajili ya watu wako, ambao uliwakomboa kutoka Misri kwa ajili yako mwenyewe. 24 Uliwaimarisha watu wako Waisraeli ili wawe watu wako milele;+ na wewe, Ee Yehova, umekuwa Mungu wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki