18 “Mnapaswa kuwaweka waamuzi+ na maofisa kwa ajili ya kila kabila katika majiji yenu yote ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, nao lazima wawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu.
8 Pia huko Yerusalemu, Yehoshafati aliwaweka baadhi ya Walawi na makuhani na baadhi ya viongozi wa koo* za Waisraeli watumikie wakiwa waamuzi kwa ajili ya Yehova na kusuluhisha kesi za wakaaji wa Yerusalemu.+