5 “Nao makuhani, Walawi, watakuja kwa sababu Yehova Mungu wenu amewachagua wamhudumie,+ watangaze baraka katika jina la Yehova.+ Watatangaza jinsi kila mzozo unaohusisha ukatili unavyopaswa kusuluhishwa.+
25“Watu wakizozana, wanaweza kwenda kuwaona waamuzi,+ nao wataamua kesi yao na kumtangaza mtu asiye na hatia kuwa mwadilifu na aliye na hatia kuwa mwovu.+