38 Katika siku hizo Hezekia akawa mgonjwa karibu afe.+ Nabii Isaya+ mwana wa Amozi akaja na kumwambia, “Yehova anasema hivi: ‘Wape maagizo watu wa nyumba yako, kwa maana utakufa; hutapona.’”+ 2 Ndipo Hezekia akaugeuza uso wake kuelekea ukutani, akaanza kusali hivi kwa Yehova: