Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 20:8-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hezekia alikuwa amemuuliza hivi Isaya: “Ni ishara gani+ itakayonionyesha kwamba Yehova ataniponya na kwamba nitapanda kwenda katika nyumba ya Yehova siku ya tatu?” 9 Isaya akajibu: “Hii ndiyo ishara kutoka kwa Yehova itakayokuonyesha kwamba Yehova atatimiza neno alilosema: Je, unataka kivuli kilicho kwenye ngazi* kiende mbele hatua kumi au kirudi nyuma hatua kumi?”+ 10 Hezekia akasema: “Ni rahisi kivuli kwenda mbele hatua kumi lakini si rahisi kirudi nyuma hatua kumi.” 11 Kwa hiyo nabii Isaya akamwomba Yehova, Naye akafanya kivuli kilichokuwa kwenye ngazi ya Ahazi kirudi nyuma hatua kumi na tayari kilikuwa kimeshuka ngazi.+

  • Isaya 38:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nitafanya kivuli cha jua kinachoshuka kwenye ngazi* ya Ahazi kirudi nyuma hatua kumi.”’”+ Basi jua likarudi nyuma hatua kumi kwenye ngazi ambayo tayari lilikuwa limeshuka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki