1 Mambo ya Nyakati 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wana wa Yosia walikuwa Yohanani mzaliwa wa kwanza, wa pili, Yehoyakimu,+ wa tatu, Sedekia,+ wa nne, Shalumu. Yeremia 22:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Kwa maana Yehova anasema hivi kumhusu Shalumu*+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda anayetawala badala ya Yosia+ baba yake, ambaye ameondoka mahali hapa: ‘Hatarudi hapo tena.
15 Wana wa Yosia walikuwa Yohanani mzaliwa wa kwanza, wa pili, Yehoyakimu,+ wa tatu, Sedekia,+ wa nne, Shalumu.
11 “Kwa maana Yehova anasema hivi kumhusu Shalumu*+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda anayetawala badala ya Yosia+ baba yake, ambaye ameondoka mahali hapa: ‘Hatarudi hapo tena.