1 Mambo ya Nyakati 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wana wa Yosia walikuwa Yohanani mzaliwa wa kwanza, wa pili, Yehoyakimu,+ wa tatu, Sedekia,+ wa nne, Shalumu. 2 Mambo ya Nyakati 36:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kisha watu nchini wakamchukua Yehoahazi+ mwana wa Yosia na kumweka kuwa mfalme huko Yerusalemu baada ya baba yake.+
15 Wana wa Yosia walikuwa Yohanani mzaliwa wa kwanza, wa pili, Yehoyakimu,+ wa tatu, Sedekia,+ wa nne, Shalumu.
36 Kisha watu nchini wakamchukua Yehoahazi+ mwana wa Yosia na kumweka kuwa mfalme huko Yerusalemu baada ya baba yake.+