29 Katika siku zake Farao Neko mfalme wa Misri alikuja kukutana na mfalme wa Ashuru karibu na Mto Efrati, kisha Mfalme Yosia akaenda kukabiliana naye; lakini Neko alipomwona, alimuua huko Megido.+
2 Kuhusu Misri,+ kuhusu jeshi la Farao Neko+ mfalme wa Misri, aliyekuwa kando ya Mto Efrati na aliyeshindwa huko Karkemishi na Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda: