11 “Kwa maana Yehova anasema hivi kumhusu Shalumu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda anayetawala badala ya Yosia+ baba yake, ambaye ameondoka mahali hapa: ‘Hatarudi hapo tena. 12 Kwa maana atakufa mahali walipompeleka uhamishoni, naye hataiona tena nchi hii.’+