-
1 Wafalme 10:18-20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Mfalme pia alitengeneza kiti kikubwa cha ufalme cha pembe za tembo+ na kukifunika kwa dhahabu safi.+ 19 Kiti hicho cha ufalme kilikuwa na ngazi sita, kilikuwa na kifuniko cha mviringo mgongoni, nacho kilikuwa na mikono pande zote mbili, na simba wawili+ walisimama kando ya mikono hiyo. 20 Na kulikuwa na simba 12 waliosimama kwenye ngazi hizo sita, wawili kwenye kila ngazi, mmoja upande huu na mwingine upande wa pili. Hakuna ufalme mwingine wowote uliokuwa umetengeneza kiti kama hicho.
-