35 Lakini nitauchukua ufalme kutoka mikononi mwa mwana wake na kukupa wewe, yaani, makabila kumi.+ 36 Nitampa mwana wake kabila moja, ili sikuzote Daudi mtumishi wangu awe na taa mbele zangu Yerusalemu,+ jiji ambalo nimejichagulia liwe mahali pa kuweka jina langu.