Mwanzo 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Fimbo ya ufalme haitaondoka Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo* atakapokuja,+ na mataifa yatamtii.+ 2 Samweli 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Sasa mwambie hivi mtumishi wangu Daudi: ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nilikutoa malishoni, ili usiendelee kuchunga kondoo,+ uwe kiongozi wa watu wangu Waisraeli.+ Zaburi 78:70, 71 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 70 Alimchagua Daudi+ mtumishi wakeNa kumtoa katika mazizi ya kondoo,+71 Alimwondoa katika kazi ya kuchunga kondoo wanaonyonyesha;Akamfanya kuwa mchungaji wa Yakobo, watu wake,+Na wa Israeli, urithi wake.+
10 Fimbo ya ufalme haitaondoka Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo* atakapokuja,+ na mataifa yatamtii.+
8 Sasa mwambie hivi mtumishi wangu Daudi: ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nilikutoa malishoni, ili usiendelee kuchunga kondoo,+ uwe kiongozi wa watu wangu Waisraeli.+
70 Alimchagua Daudi+ mtumishi wakeNa kumtoa katika mazizi ya kondoo,+71 Alimwondoa katika kazi ya kuchunga kondoo wanaonyonyesha;Akamfanya kuwa mchungaji wa Yakobo, watu wake,+Na wa Israeli, urithi wake.+