Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 12:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Naye akajenga nyumba za ibada mahali pa juu na kuchagua makuhani kutoka miongoni mwa watu wa kawaida, ambao hawakuwa Walawi.+

  • 1 Wafalme 12:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Katika siku ya 15 ya mwezi wa nane, mwezi aliojichagulia, akaanza kutoa dhabihu kwenye madhabahu aliyokuwa amejenga huko Betheli; akaanzisha sherehe kwa ajili ya Waisraeli, naye akapanda juu ya madhabahu ili kutoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu.

  • 1 Wafalme 13:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Hata baada ya mambo hayo kutendeka, Yeroboamu hakuacha njia yake mbaya, lakini aliendelea kuchagua makuhani kutoka miongoni mwa watu wa kawaida ili wahudumu mahali pa juu.+ Alimweka kuwa kuhani* mtu yeyote aliyetaka kuwa kuhani, akisema: “Na awe mmoja wa makuhani wa mahali pa juu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki