Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 17:3-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova aliendelea kuwa pamoja na Yehoshafati kwa sababu alitembea katika njia za awali za Daudi babu yake+ naye hakutafuta Mabaali. 4 Kwa maana alimtafuta Mungu wa baba yake+ na kufuata* amri yake wala si mazoea ya Waisraeli.+ 5 Yehova aliendelea kuuimarisha kabisa ufalme mikononi mwake;+ na watu wote wa Yuda wakaendelea kumpa Yehoshafati zawadi, akawa na utajiri na utukufu mwingi.+ 6 Moyo wake ukawa jasiri katika njia za Yehova, na hata aliondoa mahali pa juu+ na miti mitakatifu*+ huko Yuda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki