Yoshua 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+ Yoshua 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Aini+ na malisho yake, Yuta+ na malisho yake, na Beth-shemeshi na malisho yake—majiji tisa katika maeneo ya makabila hayo mawili. 1 Samweli 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini Mungu akawaua watu wa Beth-shemeshi, kwa sababu walilitazama Sanduku la Yehova. Aliwaua watu 50,070* miongoni mwao, basi watu wakaanza kuomboleza kwa sababu Yehova alikuwa amewaua kwa mauaji makubwa.+
8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+
16 Aini+ na malisho yake, Yuta+ na malisho yake, na Beth-shemeshi na malisho yake—majiji tisa katika maeneo ya makabila hayo mawili.
19 Lakini Mungu akawaua watu wa Beth-shemeshi, kwa sababu walilitazama Sanduku la Yehova. Aliwaua watu 50,070* miongoni mwao, basi watu wakaanza kuomboleza kwa sababu Yehova alikuwa amewaua kwa mauaji makubwa.+