Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baadaye, Daudi aliwashinda Wafilisti+ na kuwatiisha,+ akachukua jiji la Metheg-ama kutoka mikononi mwa Wafilisti.

  • 2 Mambo ya Nyakati 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha Yehova akawachochea*+ Wafilisti+ na Waarabu+ walioishi karibu na Waethiopia ili wamshambulie Yehoramu.

  • Isaya 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Usishangilie, ewe Ufilisti, yeyote kati yenu,

      Kwa sababu tu gongo la yule anayewapiga limevunjwa.

      Kwa maana kwenye mzizi wa nyoka+ atatoka nyoka mwenye sumu,+

      Na uzao wake utakuwa nyoka wa moto arukaye.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki