-
1 Mambo ya Nyakati 15:16, 17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Ndipo Daudi akawaambia wakuu wa Walawi wawaweke ndugu zao waimbaji ili waimbe kwa shangwe na sauti kubwa, kwa ala za muziki: vinanda, vinubi,+ na matoazi.+
17 Basi Walawi wakamweka Hemani+ mwana wa Yoeli na, kutoka kati ya ndugu zake, Asafu+ mwana wa Berekia na, kutoka kati ya ndugu zao Wamerari, Ethani+ mwana wa Kushaya.
-
-
1 Mambo ya Nyakati 25:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Isitoshe, Daudi na wakuu wa vikundi vya utumishi waliwatenga baadhi ya wana wa Asafu, Hemani, na Yeduthuni+ ili watoe unabii kwa kutumia vinubi, vinanda,+ na matoazi.+ Hii ndiyo orodha ya wanaume waliowekwa rasmi kwa ajili ya utumishi huo: 2 kutoka kwa wana wa Asafu: Zakuri, Yosefu, Nethania, na Asharela, wana wa Asafu waliokuwa chini ya usimamizi wa Asafu, aliyetoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
-