Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 28:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Alimpa ramani ya kila kitu alichoambiwa kupitia mwongozo wa roho kuhusu ujenzi wa nyua+ za nyumba ya Yehova, vyumba vyote vya kulia chakula vilivyoizunguka, hazina za nyumba ya Mungu wa kweli, na hazina za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu;*+ 13 pia kuhusu vikundi vya makuhani+ na Walawi, kuhusu kazi zote za utumishi wa nyumba ya Yehova, na kuhusu vyombo vyote vya utumishi wa nyumba ya Yehova;

  • 2 Mambo ya Nyakati 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha Sulemani akamtolea Yehova dhabihu za kuteketezwa+ kwenye madhabahu+ ya Yehova aliyokuwa amejenga mbele ya ukumbi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Pia, alipanga vikundi vya makuhani+ kwa ajili ya utumishi wao kulingana na sheria ya Daudi baba yake, na Walawi katika vituo vyao vya kazi, ili watoe sifa+ na kuhudumu mbele ya makuhani kulingana na utaratibu wa kila siku, na walinzi wa malango katika vikundi vyao kwenye malango mbalimbali,+ kwa maana hivyo ndivyo alivyoamuru Daudi, mtu wa Mungu wa kweli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki