Hesabu 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wana wa Haruni, makuhani, wanapaswa kuzipiga tarumbeta;+ na hiyo itakuwa sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote. 1 Mambo ya Nyakati 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Makuhani Shebania, Yoshafati, Nethaneli, Amasai, Zekaria, Benaya, na Eliezeri walipiga tarumbeta kwa sauti kubwa mbele ya Sanduku la Mungu wa kweli,+ na Obed-edomu na Yehia walitumikia pia wakiwa walinzi wa malango kwa ajili ya Sanduku.
8 Wana wa Haruni, makuhani, wanapaswa kuzipiga tarumbeta;+ na hiyo itakuwa sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote.
24 Makuhani Shebania, Yoshafati, Nethaneli, Amasai, Zekaria, Benaya, na Eliezeri walipiga tarumbeta kwa sauti kubwa mbele ya Sanduku la Mungu wa kweli,+ na Obed-edomu na Yehia walitumikia pia wakiwa walinzi wa malango kwa ajili ya Sanduku.