Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kisha Musa akawatuma vitani wanaume 1,000 kutoka katika kila kabila, wakiwa pamoja na Finehasi+ mwana wa kuhani Eleazari aliyebeba mkononi mwake vyombo vitakatifu na tarumbeta za kutangaza mwito.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Makuhani Shebania, Yoshafati, Nethaneli, Amasai, Zekaria, Benaya, na Eliezeri walipiga tarumbeta kwa sauti kubwa mbele ya Sanduku la Mungu wa kweli,+ na Obed-edomu na Yehia walitumikia pia wakiwa walinzi wa malango kwa ajili ya Sanduku.

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 na makuhani Benaya na Yahazieli walipiga tarumbeta daima mbele ya sanduku la agano la Mungu wa kweli.

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Basi Walawi walikuwa wakisimama wakiwa na ala za Daudi, na makuhani wakiwa na tarumbeta.+

  • Nehemia 12:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Walikuwa pamoja na baadhi ya wana wa makuhani waliokuwa na tarumbeta:+ Zekaria mwana wa Yonathani mwana wa Shemaya mwana wa Matania mwana wa Mikaya mwana wa Zakuri mwana wa Asafu,+

  • Nehemia 12:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 na makuhani Eliakimu, Maaseya, Miniamini, Mikaya, Elioenai, Zekaria, na Hanania, wakiwa na tarumbeta,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki