Hesabu 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao wana wa Haruni, kuhani, watazipiga tarumbeta,+ nazo zitakuwa sheria kwa ajili yenu mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyenu.
8 Nao wana wa Haruni, kuhani, watazipiga tarumbeta,+ nazo zitakuwa sheria kwa ajili yenu mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyenu.