9 “Utatengeneza ua wa hema+ la ibada. Upande wa kusini, ua huo utakuwa na mapazia yanayoning’inia ya kitani bora kilichosokotwa; yatakuwa na urefu wa mikono 100 upande mmoja.+
16 Haruni na wanawe watatumia unga unaobaki+ kuoka mikate isiyo na chachu, nao watakula mikate hiyo mahali patakatifu. Wataila katika ua wa hema la mkutano.+