Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lakini Farao akasema: “Yehova ni nani,+ hivi kwamba nitii sauti yake na kuwaruhusu Waisraeli waende zao?+ Simjui Yehova kamwe, na isitoshe, sitawaruhusu Waisraeli waende zao.”+

  • Kumbukumbu la Torati 32:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Isingekuwa kwa sababu ya kuogopa jinsi maadui wangu watakavyotenda,+

      Kwa sababu huenda wapinzani wakalielewa vibaya jambo hilo.+

      Huenda wakasema: “Nguvu zetu zimeshinda;+

      Si Yehova aliyefanya mambo haya yote.”

  • Danieli 3:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nebukadneza akawauliza: “Shadraki, Meshaki, na Abednego, je, ni kweli kabisa kwamba hamwabudu miungu yangu+ na kwamba mnakataa kuabudu sanamu ya dhahabu ambayo nimesimamisha? 15 Basi mtakaposikia sauti ya pembe, zumari, zeze, kinubi cha pembe tatu, kinanda, zumari-tete, na ala nyingine zote za muziki, mkiwa tayari kuanguka chini na kuabudu sanamu ambayo nimeitengeneza, ni sawa. Lakini mkikataa kuabudu, mtatupwa mara moja katika tanuru lenye moto mkali. Na ni mungu gani anayeweza kuwaokoa kutoka mikononi mwangu?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki