Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Haruni na wanawe watanawa mikono na miguu yao kwenye beseni hilo.+ 20 Wanapoingia kwenye hema la mkutano au wanapoenda kwenye madhabahu kuhudumu na kumtolea Yehova dhabihu za kuteketezwa na zinazofuka moshi, watanawa kwa maji ili wasife.

  • Mambo ya Walawi 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ni lazima umtakase kuhani,+ kwa sababu ndiye anayetoa mkate wa Mungu wenu. Mnapaswa kumwona kuwa mtakatifu, kwa sababu mimi, Yehova, ninayewatakasa ninyi, ni mtakatifu.+

  • Mambo ya Walawi 22:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwambie Haruni na wanawe kwamba wanapaswa kuwa waangalifu kuhusu wanavyoshughulikia* vitu vitakatifu vya Waisraeli, nao wasichafue jina langu takatifu+ kuhusu vitu wanavyotakasa kwa ajili yangu.+ Mimi ni Yehova. 3 Waambie, ‘Katika vizazi vyenu vyote, mzao wenu yeyote asiye safi atakayekaribia vitu vitakatifu ambavyo Waisraeli wanavitakasa kwa ajili yangu, mimi, Yehova, ataangamizwa kutoka mbele zangu.+ Mimi ni Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki