32 Kiongozi wa wakuu wa Walawi alikuwa Eleazari+ mwana wa kuhani Haruni, naye aliwasimamia wale waliokuwa na majukumu ya kufanya kazi mahali patakatifu.
6 “Kisha Waisraeli wakaondoka Beerothi Bene-yaakani na kwenda Mosera. Haruni akafa na kuzikwa huko,+ na Eleazari mwana wake akaanza kutumikia akiwa kuhani baada yake.+