Ezra 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hawa ndio watu wa mkoa,* baadhi ya mateka waliopanda kutoka uhamishoni,+ ambao Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni Babiloni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+ Ezra 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 wana wa Zatu,+ 945; Ezra 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 na kutoka kwa wana wa Zatu,+ Elioenai, Eliashibu, Matania, Yeremothi, Zabadi, na Aziza; Ezra 10:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Wote hao walikuwa wameoa wanawake wa kigeni,+ basi wakawafukuza wake zao pamoja na wana wao.+
2 Hawa ndio watu wa mkoa,* baadhi ya mateka waliopanda kutoka uhamishoni,+ ambao Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni Babiloni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+